DEWJIBLOG

Top Menu

  • Nifahamu
  • Mtangazo
  • Wasiliana Namimi

Main Menu

  • Nyumbani
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Burudani
  • Zaidi
  • Nifahamu
  • Mtangazo
  • Wasiliana Namimi
logo
  • Nyumbani
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Burudani
  • Zaidi

Kimataifa

  • 16
    Aug

    Onyo la mafuriko kutoka Shirika la Hali ya Hewa nchini Marekani

    Kimataifa
    By Zainul Mzige
    301
    0
    Shirika la Taifa la hali ya hewa nchini Marekani limetoa onyo la mafuriko kusini-mashariki mwa mji wa Louisiana, katika maeneo ...
    Read More
  • 16
    Aug

    Donald Trump aendeleza vita na waislamu

    Kimataifa
    By Rabi Hume
    305
    0
    Mgombea urais wa Marekani kwa kupitia tiketi ya Republican, Donald Trump anaonekana kuendeleza vimbwanga kila ku kicha, katika kampeni zake ...
    Read More
  • 14
    Aug

    Fidel Castro ajitokeza hadharani akisherekea kutimiza miaka 90

    Kimataifa
    By Rabi Hume
    280
    0
    Kiongozi Mwanamapinduzi wa Cuba Bw. Fidel Castro amewashukuru wananchi wa Nchi hiyo kwa kumtakia kheri ya siku yake ya kuzaliwa ...
    Read More
  • 12
    Aug

    Wahalifu wa mtandaoni “hackers” wafunga mtandao wa ofisi ya takwimu

    Kimataifa
    By Rabi Hume
    258
    0
    Kwa kipindi cha miezi kadhaa iliyopita mastaa mbalimbali nchini wamekuwa wakiibiwa akaunti zao za mitandao ya kijamii na waharifu wa ...
    Read More
  • 11
    Aug

    Migahawa ya KFC yakatazwa kuuza kuku waliotibiwa na Antibiotic

    Kimataifa
    By Rabi Hume
    276
    0
    Kentucky Fried Chicken ni kampuni iliyopo maeneo ya Kentucky, Louisville huko nchini Marekani wakijihusisha na maswala ya upikaji wa nyama ...
    Read More
  • 11
    Aug

    Samsung yakataa kutoa fidia kwa walioathirika na kemikali za kiwanda

    Kimataifa
    By Zainul Mzige
    229
    0
    Kampuni kubwa duniani kwa kutengeneza na kusambaza vifaa vya kielektoniki ya Samsung iliyopo Korea Kusini imekanusha baadhi ya taarifa zilizotolewa ...
    Read More
  • 11
    Aug

    Akamatwa na Polisi akimfata Donald Trump ghorofani kwake

    Kimataifa
    By Rabi Hume
    268
    0
    Vioja vya mgombea urais wa Marekani, Donald Trump kuna uwezekano kabisa na watu wanaomuunga mkono kuwa na vioja kama alivyonavyo ...
    Read More
  • 10
    Aug

    Watoto 11 waungua moto wakiwa hospitali, Baghdad

    Kimataifa
    By Rabi Hume
    298
    0
    Katika tukio ambalo limewashtua watu wengi, watoto 11 wanatajwa kupoteza maisha baada ya kuungua moto wakati wakiwa katika moja ya ...
    Read More
  • 10
    Aug

    Olimpiki yaibua mwanzo mpya wa mahusiano kati ya Korea Kusini na Kaskazini

    Kimataifa
    By Rabi Hume
    238
    0
    Kwa kipindi cha miaka mingi iliyopita, nchi za Korea Kusini na Korea Kaskazini zimekuwa katika vita licha ya kuwa majirani ...
    Read More
  • 9
    Aug

    Imani ya kidini yasababisha kufungwa kifungo cha maisha

    Kimataifa
    By Rabi Hume
    262
    0
    Ule msemo wa sheria ni msumeno unakata pande zote bila kufanya upendeleo wa upande wowote umekuta mtu mmoja nchini Uingereza ...
    Read More
1 … 22 23 24 25 26 … 30

Habari za hivi punde

  • WB yakubali kushirikiana na Serikali kutafuta ufumbuzi wa mafuriko nchini

    April 20, 2018
  • Siku ya Malaria Kitaifa kufanyika wilayani Kasulu, Kigoma

    April 20, 2018
  • Benki ya NMB yatoa msaada katika hospitali na shule mkoani Dodoma

    April 20, 2018
  • Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu matumizi ya trilioni 1.5

    April 20, 2018
  • UNESCO yawanoa mafundi mitambo wa redio za jamii nchini

    April 20, 2018
  • Vodacom yaingia ubia wa kibiashara na kampuni ya iflix

    April 20, 2018
  • Hospitali ya Mama na Mtoto Chanika yazinduliwa

    April 19, 2018
  • Makamu wa Rais ahudhuria CHOGM

    April 19, 2018
  • Spika Ndugai ataja mambo yaliyosababisha Bunge lisitoe fedha za matibabu ya Lissu

    April 19, 2018

#DewjiBlogLive

MO Dewji BlogFollow

Bringing you the latest news from across Tanzania 🇹🇿 || 📧 [email protected] || 📞Share news tips via whatsapp: +255676231355

MO Dewji Blog
DewjiBlogMO Dewji Blog@DewjiBlog·
23 Nov

#DewjiBlogNews: Aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amekataa ombi la Rais wa Zambia Edgar Lungu la kumtaka aende kuishi nchini Zambia.

Rais Lungu amesema Mugabe alimwambia nyumbani kwake ni Zimbabwe na ataendelea kusalia nchini humo.

210Twitter
DewjiBlogMO Dewji Blog@DewjiBlog·
23 Nov

#DewjiBlogNews: IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi limepanga kuanzisha benki ambayo itatumika kutoa mikopo kwa askari Polisi jambo ambalo litasaidia kupunguza vitendo vya baadhi ya polisi kuomba rushwa.

13Twitter
DewjiBlogMO Dewji Blog@DewjiBlog·
23 Nov

#DewjiBlogNews: Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hana mpango wa kugombea ubunge katika jimbo la Singida Kaskazini ambalo liko wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wake Lazaro Nyalandu kujiuzulu.

527Twitter
DewjiBlogMO Dewji Blog@DewjiBlog·
22 Nov

#DewjiBlogNews: Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ametembelea eneo la mpaka wa Tanzania na Kenya lililopo kijiji cha Nyamhunda, wilayani Tarime, Mara ambapo upande wa pili ni kaunti ya Migori nchini Kenya.

2
212Twitter
DewjiBlogMO Dewji Blog@DewjiBlog·
22 Nov

#DewjiBlogNews: Rais mtarajiwa wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amerejea Zimbabwe akitokea Afrika Kusini, Spika wa bunge Jacob Mudenda amesema Mnangagwa ataapishwa siku ya ijumaa kuwa Rais wa mpito wa nchi hiyo.

410Twitter
DewjiBlogMO Dewji Blog@DewjiBlog·
22 Nov

#DewjiBlogNews:"Nitatangaza katika siku za hivi karibuni jukwaa jipya la harakati zangu dhidi ya ufisadi. Nawatakia safari njema waliobaki ndani ya CHADEMA kwa kile wanachokiamini"- David Kafulila.

324Twitter
DewjiBlogMO Dewji Blog@DewjiBlog·
22 Nov

#DewjiBlogNews:"Kwa kuwa sina tena imani na upinzani kama jukwaa salama la kupambana na ufisadi, nimeamua kwa hiari na utashi wangu kujivua uanachama wa CHADEMA"- David Kafulila.

519Twitter
Load More...

Follow us on instagram

NJIA ZA KUTUPA

  • Kimataifa
  • Michezo
  • Burudani
  • Kitaifa

HABARI ZILIZOPOKELEWA

  • WB yakubali kushirikiana na Serikali kutafuta ufumbuzi wa mafuriko nchini
  • Siku ya Malaria Kitaifa kufanyika wilayani Kasulu, Kigoma
  • Benki ya NMB yatoa msaada katika hospitali na shule mkoani Dodoma
  • Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu matumizi ya trilioni 1.5
  • UNESCO yawanoa mafundi mitambo wa redio za jamii nchini

TUTAFUTE FACEBOOK

Copyright © 2016 Dewjiblog. All rights reserved.